Stephen Kasolo defends Pastor Ezekiel after arrest

Kitole Hitmaker Stephen Kasolo has reacted after Pastor Ezekiel of New Life Evangelical Church was arrested in connection with the deaths of his followers.

Taking to his social media, Kasolo said that it was sad how the media was portraying Pastor Ezekiel and they could not even associate with the good things he did rather they have portrayed him as a bad person.

“Wakati huyu mtumishi alitoa chakula Cha Msaada kwa wakenya wakioadhirika kwa njaa Sikuona media imeleta Kama Breaking News lakini leo amekamatwa hapo ndipo media imeanza kutangaza ndio ubaya wake uonekane,”said Kasolo.

“Kenyan media God have mercy on us!! Watu wengi wamesaidika kupitia huduma yake mbona msitwambie Uziri wake?? You just want to bring him down but Mbingu zinaona..,” he added.

This caused many of his followers to react to the same. Below are some of the reactions:

Clev Kilonzo said, “Wewe uliona Yesu akiuza maji na mafuta? Itabidi unyamaze kabla waingie kwa wanamuziki. Hujui chochote hivo usimtetee hata ncha!,”

Angelaloise Kavuli said, “I remember vile alijengea yule mama nyumba. Mwenye alikuwa  anawapa watoto mizizi kma chakula plz some times tukisema ubaya pia tusisahau wema,”

Favour Mutheu Muumba said, “Wewe wacha kelele and learn to test every spirit. Sasa unatuambia nini or you are looking for followers,”

Alex Kuloba said, “Kulingana na IMANI YANGU pastor Ezekiel anapigwa Vita kwa ukweli wake nakumbuka 25-04-2023 kwa bunge la kitaifa alitajwa Sana serikali wanampiga Vita hiiyo tunajua Sana,”

Televangelist Ezekiel was on Friday arraigned before Shanzu court following his arrest on Thursday. The police want him detained for 30 days pending the completion of investigations. The ruling will be delivered Tuesday 2nd May 2023.

Stay in touch ...

34,878FansLike
3,000FollowersFollow
1,140SubscribersSubscribe